BABU TALE AMKALIA KOONI WAZIRI AWESO

NA MWANDISHI WETU-MOROGORO MBUNGE wa jimbo la Morogoro kusini mashariki Hamis Taletale(Babu Tale) amelazimika kupigia simu waziri wa maji Jumaa Aweso mbele ya wananchi baada ya kupokea maalalamiko kutoka kwa wananchi wa kijiji cha Kiroka juu ya gharama kubwa ya Maji. Hatua hiyo iekuja baada ya wananchi kulalaikia gaharaa ya unit moja kuuzwa kwa shilingo